Nataka kujua hivyo kwasababu mdogo wangu kapelekwa IFM ambako hakuomba kabisa, na hakuna kozi hata moja alizoomba.
kama ndo hivyo kulikuwa na ulazima wa kuomba vyuo na kuchagua kozi, huu usumbufu tu.
nataka kujua plz, jitokeze kama una tatizo kama hili.