Je naweza kuchukua nafasi ya chuo ya mtu mwingine?

Bangsweezy

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
880
Reaction score
200
Wakuu mimi nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana na kupata dalaja la pili point 20, na kachaguliwa kwenda A level sasa anamwenzake amechaguliwa chuo apo DIT anasema uyomwenzake awezi kwenda apo chuo sasa anataka nikamwombe iyo nafasi aende kwani yeye akujaza shule ila kutokana na ufaulu wake kapelekwa shule. Sasa naomba ushauliwenu kwanza nikienda tamisemi kweli naweza pata iyo nafasi kwa sasa nikiomba.
 
Hii mkuu haiwezekani kabisa.huko sio kubadilishana kituo cha kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…