Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
we kwa nini ulimuonyesha namba yako ya siri..? ndio anaweza kukuibia....tena inawezekana mpaka saa hii keshaiba.....
kwenda badilisha password pale pale kwenye atm machine.....kabla hajawaambia na marafiki zake......
ooh mungu wangu,kuna option ya kubadili namba ya siri hapohapo?
ndio....inawezekana kabisa.....
Ushauri mzuri sana, kila mara kuna haja ya kubadili pin yako.kama hana kadi yako sio rahisi kuibiwa
labda ingekuw amekusaidia onilne transaction lakini kama ni ATM huna haja kuogopa
sio kila mtu mwizi hata mm nshasaidia wengi tena wazee ktk ATM
jijenge utaratibu wa kubdaidli namba yako ya siri kila mara.
Kadi yako uko nayo hapo? Kama kadi unayo hawezi kukuibia ila kama na kadi ulimuachia huna hata haja kuuliza hapa kitakachotokea.
Sio lazima akuibie lakini, bado kuna watu wazuri tu duniani na pengine alikusaidia kwa uzuri tu.
Mtu akiona pin number yako hawezi kukuibia tu hivi hivi labda awe na kadi yako ya bank. Bt ni vizuri wanasemaga kubadilisha pin number yako from time to time hata kama hakuna aliyeiona
akijua pin yako anaweza kukuibia kwa kutumia sim banking as long as anajua na namba yako. Mimi nilishawahi pata matatizo makubawa kwa mambo haya. Badili password fasta.
Nyie mnaosema hawezi kuibiwa bila huyo mtu kuwa na kadi yake, kwani hamjasijiaga za watu kutumia kamera kupiga picha kadi au kurekodi ka video esp kwa sasa inafanywa sana na vi mobile phones. Mtu anashika unadhani ni kashika tu simu yake mkononi kumbe anaiba mambo. Then baadae wanatengeneza kadi na info hizo then inalala kwako.
Online shopping nayo itamsaidia kutumia pesa bila kadi, etc. Unless kama kuna security kali inayoomba details zingine za mwenye nayo.
Ndio maana ni muhimu sana kufunika kwa mikono kwa kuficha wakati unaweka pin namba yako.
Kadi yako uko nayo hapo? Kama kadi unayo hawezi kukuibia ila kama na kadi ulimuachia huna hata haja kuuliza hapa kitakachotokea.
Sio lazima akuibie lakini, bado kuna watu wazuri tu duniani na pengine alikusaidia kwa uzuri tu.
akijua pin yako anaweza kukuibia kwa kutumia sim banking as long as anajua na namba yako. Mimi nilishawahi pata matatizo makubawa kwa mambo haya. Badili password fasta.