Je, naweza kuomba tena kazi Serikalini ikiwa nina kazi tayari Serikalini?

Je, naweza kuomba tena kazi Serikalini ikiwa nina kazi tayari Serikalini?

Jantisa

Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
51
Reaction score
47
Habari wana jamvi kuna mdau anauliza yeye ni mfanyakazi katika wizara moja hapa nchini na ndio kwanza ana miezi nane kazini sasa ameona tangazo la Ajira sekretarieti ya Ajira katika taasisi moja ya elimu ya juu anauliza vipi anaweza kuomba?

Au mpaka asubiri ipite miaka mitatu

Karibuni ma HRO na Administration officers
 
Habari Wana jamvi Kuna mdau anauliza yeye ni mfanyakazi katika wizara moja hapa nchini na ndio kwanza ana miezi nane kazini sasa ameona tangazo la Ajira sekretarieti ya Ajira katika taasisi moja ya elimu ya juu anauliza vipi anaweza kuomba?
Au mpaka asubiri ipite miaka mitatu

Karibuni ma HRO na Administration officers
Anaomba vizuri ila barua yake ya maombi ipite kwa mkurugenzi kwake.
Unaruhusiwa kuomba kazi ajira portal kwa maana ifuatayo

1. Ikiwa kazi unayoomba ni tofauti na uliyonayo.
Mfano:- Wewe ni mwalimu unaomba kazi ya ulecturer

2. Ikiwa kazi unayoomba ni tofauti na ufanyayo.
Mfano:- Wewe ni mwalimu ila una vyeti vya economics, basi unaweza omba kazi ya mchumi.

3. Ikiwa ni nafasi ya uhamisho.

All ni all LAZIMA UIPITISHE KWA MKURUGENZI NA ASAINI.

#YNWA
 
Habari Wana jamvi Kuna mdau anauliza yeye ni mfanyakazi katika wizara moja hapa nchini na ndio kwanza ana miezi nane kazini sasa ameona tangazo la Ajira sekretarieti ya Ajira katika taasisi moja ya elimu ya juu anauliza vipi anaweza kuomba?
Au mpaka asubiri ipite miaka mitatu

Karibuni ma HRO na Administration officers
mwambie aache tamaa
 
Habari Wana jamvi Kuna mdau anauliza yeye ni mfanyakazi katika wizara moja hapa nchini na ndio kwanza ana miezi nane kazini sasa ameona tangazo la Ajira sekretarieti ya Ajira katika taasisi moja ya elimu ya juu anauliza vipi anaweza kuomba?
Au mpaka asubiri ipite miaka mitatu

Karibuni ma HRO na Administration officers
Soma Tangazo.

Huwa wanaandika, wanaoomba wakiwa tayari na kazi, basi barua zao zipitie kwa waajiri wao..

Mtu yupo wizarani alafu hajui hili?
 
Unaweza, lakini barua yako ya maombi ya kazi ni lazimi ipitie kwa mwajiri wako wa sasa. (Mf. Mkurugenzi wa halmashauri au mkuu wa taasisi).

Kama huyo bosi wako ni mzungu basi unateleza tu, lakini kama ni mkoloni basi hapo hauchomoki. Ikizingatiwa kwa muda huo aliokaa hapo hata kuthibitishwa kazini bado.

NB: Isipopita kwa huyo mwajiri wako atapata taabu sana kuhamia kwenye hiyo taasisi nyingine hata kama atapata hiyo kazi.
 
Leo hii tumetoka kujadili na jamaa mmoja.
Kaomba kazi huku hajaacha kazi.
Bosi akapiga huko hajaacha kazi kuuliza ref.
Badae jamaa kala za uso kwa kazi zote 2.
Alikua analia,huku anacheka analia tena huku anacheka.
Mi kazi yangu ilikua kumpa tu chai ya pilipili na maji.
 
Leo hii tumetoka kujadili na jamaa mmoja.
Kaomba kazi huku hajaacha kazi.
Bosi akapiga huko hajaacha kazi kuuliza ref.
Badae jamaa kala za uso kwa kazi zote 2.
Alikua analia,huku anacheka analia tena huku anacheka.
Mi kazi yangu ilikua kumpa tu chai ya pilipili na maji.
Alikuwa akifanya kazi kwenye taasisi binafsi bila shaka.
 
Mfanyakazi gani anaweza acha kazi Wizarani akaenda kwenye Taasisi ya Elimu?
Ni taasisi gani hiyo ya Elimu inaweza kuwa na posho kuliko Wizara??

Au ndio wale wanaofanya kazi Ofisi ya Rais-Shule ya Msingi Kigurunyembe?????
 
Habari Wana jamvi Kuna mdau anauliza yeye ni mfanyakazi katika wizara moja hapa nchini na ndio kwanza ana miezi nane kazini sasa ameona tangazo la Ajira sekretarieti ya Ajira katika taasisi moja ya elimu ya juu anauliza vipi anaweza kuomba?

Au mpaka asubiri ipite miaka mitatu

Karibuni ma HRO na Administration officers
Omba fomu ya kugombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi. sisi tutakupa full support
 
Habari Wana jamvi Kuna mdau anauliza yeye ni mfanyakazi katika wizara moja hapa nchini na ndio kwanza ana miezi nane kazini sasa ameona tangazo la Ajira sekretarieti ya Ajira katika taasisi moja ya elimu ya juu anauliza vipi anaweza kuomba?

Au mpaka asubiri ipite miaka mitatu

Karibuni ma HRO na Administration officers
😂
 
Dah ila sisi watu sisi dah, mtu ana kazi lkn anaenda kuziba riziki ya jobless 😔

Anyway, Inawezekana ila kama muajiri wako akiwa hana roho mikunjo.
 
Mfanyakazi gani anaweza acha kazi Wizarani akaenda kwenye Taasisi ya Elimu?
Ni taasisi gani hiyo ya Elimu inaweza kuwa na posho kuliko Wizara??

Au ndio wale wanaofanya kazi Ofisi ya Rais-Shule ya Msingi Kigurunyembe?????
😂😂😂😂
 
Anaomba vizuri ila barua yake ya maombi ipite kwa mkurugenzi kwake.
Unaruhusiwa kuomba kazi ajira portal kwa maana ifuatayo

1. Ikiwa kazi unayoomba ni tofauti na uliyonayo.
Mfano:- wewe ni mwalimu unaomba kazi ya ulecturer

2. Ikiwa kazi unayoomba ni tofauti na ufanyayo.
Mfano:- Wewe ni mwalimu ila una vyeti vya economics, basi unaweza omba kazi ya mchumi

3. Ikiwa ni nafasi ya uhamisho.

All ni all LAZIMA UIPITISHE KWA MKURUGENZI NA ASAINI.

#YNWA
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom