Tagawa Mwakitombile
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 464
- 393
habari wana jf?
Mm ni mfupi kwa umbo kwani nina urefu wa kama cm 155 na uzito wa kg 47 je naweza nikaongezeka urefu na uwe na uwiano sawa na kilozangu?
Kama inawezekana ni vyakula vya aina zipi natakiwa nile kwa wingi?
Thnk's in advance#
Mm ni mfupi kwa umbo kwani nina urefu wa kama cm 155 na uzito wa kg 47 je naweza nikaongezeka urefu na uwe na uwiano sawa na kilozangu?
Kama inawezekana ni vyakula vya aina zipi natakiwa nile kwa wingi?
Thnk's in advance#