Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jkt kwa mujibu.....au kujitolea?Habari za muda huu wakuu nina Degree, je naweza kuomba ajira za magereza kwa kigezo cha form four na kutakua na uwezekano wa kupanda cheo hapo baadae kutokana na elimu niloyonayo? Vigezo vyote ninavyo kama jkt. Nawasilisha
Nina 24 mkuuUwe na miaka 25 au pungufu vinginevyo umedisqualify
Kwa mujibu form6jkt kwa mujibu.....au kujitolea?
But mi naona unaweza kuomba kwa kutumia cheti cha form 4......Kuhusu kupanda cheo itakuwa ngumu Sana labda baadae.....coz wamelenga watu wa 4 ili kupunguza cost za kuwalipa
Hapo itakufunga MNA wao wanataka form four kwaio cheti cha mujibu kinaoneha wewe n sixKwa mujibu form6
Mshahara walipa bei ganNina 24 mkuu
Habari za muda huu wakuu nina Degree, je naweza kuomba ajira za magereza kwa kigezo cha form four na kutakua na uwezekano wa kupanda cheo hapo baadae kutokana na elimu niloyonayo? Vigezo vyote ninavyo kama jkt. Nawasilisha
Mshahara walipa bei gan
Usikariri mujibu wa sheria sio kwa ajili ya form six tuUtasemaje ulienda JKT na hapo hapo ni form four?
Maana program ya JKT ni kwa ajili ya form six
Sitaki kukukatisha tamaa nenda kajaribu zali
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Well saidHapo itakufunga MNA wao wanataka form four kwaio cheti cha mujibu kinaoneha wewe n six
Kwa hati yako (mkono)Kuna anaefaham namna ya kuandika barua. Barua inaandikwa kwa mkono au chapisho na passport unabandikaje
Sikweli usaili wa fire na magereza mwaka jana walitaka pia form 4 na mujibu wamechukua[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Well said
Baadae ukisha maliza kozi wakitaka kusajili vyeti vyako vilete vyoteHabari za muda huu wakuu nina Degree,
Je, naweza kuomba ajira za magereza kwa kigezo cha form four na kutakua na uwezekano wa kupanda cheo hapo baadae kutokana na elimu niloyonayo? Vigezo vyote ninavyo kama JKT.
Nawasilisha