L Life lite New Member Joined Jan 17, 2024 Posts 2 Reaction score 1 Jan 19, 2024 #21 Kaka mi nimeomba magereza kwa Chet Cha form four ,lkn pia Nina cheti cha kilimo Cha degree,kwahyo nikimalizaa coz tukiambiwa tupeleke vyeti vyote, haitakuwa na ugumu wowotee??,yyte mwenye jibu wwkuu
Kaka mi nimeomba magereza kwa Chet Cha form four ,lkn pia Nina cheti cha kilimo Cha degree,kwahyo nikimalizaa coz tukiambiwa tupeleke vyeti vyote, haitakuwa na ugumu wowotee??,yyte mwenye jibu wwkuu
Gucci gang JF-Expert Member Joined Jan 7, 2018 Posts 2,682 Reaction score 5,277 Jan 20, 2024 #22 Basi Nenda said: Wakuu hivi mtu ambaye hakwenda JKT anaweza kuomba hi kazi akabahatika ? Click to expand... πππππ Pole mkuu hapana Jaribu lakini Kile cheti ni kama uthibitisho hili jamaa ni ngangari
Basi Nenda said: Wakuu hivi mtu ambaye hakwenda JKT anaweza kuomba hi kazi akabahatika ? Click to expand... πππππ Pole mkuu hapana Jaribu lakini Kile cheti ni kama uthibitisho hili jamaa ni ngangari