Je naweza kutumia ku-print soft copy ya vyeti kuombea mkopo HESLB?

Je naweza kutumia ku-print soft copy ya vyeti kuombea mkopo HESLB?

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
Wana JF naomba msaada wenu.

Kuna ndugu yangu amenipa taarifa jioni hii, akitaka nimsaidie kuomwombea chuo TCU na mkopo HESLB, yeye yupo kijijini mbali sana.

Changamoto kubwa inayonikabili ni kukosa vyeti pamoja na pasport halisia. Hivyo nikawa na wazo la ku-print vyeti husika kutoka kwenye E mail yake; kwani alivutunza humo, kisha nipeleke mahakamani kwa taratibu zingine. JE KUFANYA HIVYO KUNARUHUSIWA???

Mchango wako ni muhimu sana na utaheshimiwa, kwa kuwa naamini hapa ni Home Of Great Thinkers.
 
Yap ina kubalika kama hivyo vyet alivyo scan na kutunza soft copy ni halisia(original).
 
Ahsante NingaR kwani hapo awali niliwahi kusikia kulikuwa na tatizo la kisheria i.e mahakama zilikuwa hazitambui.
 
TCU ukawaulize wakusaidie, watakupa majibu ya uhakika zaidi, kuliko kutuuliza hapa jukwaani... unaweza ukaingizwa chumba cha wenyewe
 
Kiresua - sipo DSM.... Ila nshukuru kwa michango yenu. Pamoja tunaweza!
 
Back
Top Bottom