Bepari la ukweli
Member
- Apr 12, 2013
- 63
- 15
Samahani mimi naishi Mwanza nilipata ajali mwez wa 5 iliyopelekea jicho langu la kulia kutoka nilipelekwa Bugando nikafanyiwa upasuaji likatolewa moja kwa moja, lakini mpaka saivi linatoa machoz kila wakati inayonipelekea kukaa ndani muda wote,
Sasa kuna jamaa ameniambia kuwa kuna macho ya bandia likiwekwa hapatatoa machozi tena,nilipoenda Bugando wamesema iyo huduma hawana.
Sasa kama kuna yeyote anayejua wapi naweza nikamaliza tatizo kama ili samahani naomba anielekeze, kama anajua na gharama aniambie ni sh ngapi?Asanteni
Sent from my Magnus bravoZ10 using JamiiForums mobile app
Sasa kuna jamaa ameniambia kuwa kuna macho ya bandia likiwekwa hapatatoa machozi tena,nilipoenda Bugando wamesema iyo huduma hawana.
Sasa kama kuna yeyote anayejua wapi naweza nikamaliza tatizo kama ili samahani naomba anielekeze, kama anajua na gharama aniambie ni sh ngapi?Asanteni
Sent from my Magnus bravoZ10 using JamiiForums mobile app