Bepari la ukweli
Member
- Apr 12, 2013
- 63
- 15
- Thread starter
-
- #41
mlitumia kama sh ngapi?Hata pale KCMC wanafanya hiyo mambo niliwah kumpeleka hapo my bro walimwekea la mbuz cjui ila lako vizur mpaka Leo 13years now
Ckumbuki ila haikuwa hela nyingi Sana aisee. Kama Una mtu pande hizo mtume Akaulizie coz nakumbuka kwa hapa nchin kwenye Eneo la macho Watu wazur ni KCMCmlitumia kama sh ngapi?
Sent from my Magnus bravoZ10 using JamiiForums mobile app
hasante kaka hacha nijipange niende ukoCkumbuki ila haikuwa hela nyingi Sana aisee. Kama Una mtu pande hizo mtume Akaulizie coz nakumbuka kwa hapa nchin kwenye Eneo la macho Watu wazur ni KCMC
hasantePole sana Kaka
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ndio maana mtwara ndugu wa mgonjwa waliamua kuwapiga baadhi yao hawajielewi kabisahospital za bongo ni mungu anasaidia tu mkuu sijui shida ni nin
labda maslahi ni madogo au mifumo mibovu
nilikua na mgonjwa anatakiwa afanyiwe opareshn ya mguu hospital moja iv dodoma tulizungushwa wiki 2 mgonjwa anatolewa wodin anapelekwa chumba cha upasuaji madoctor wanamrudisha wodin kila siku tunaandikiwa tu vifaa vya kununua kumbe walkua wanataka laki 8 na nusu ndio wafanye opp vifaa vyote vilikuepo na mgonjwa ana bima
Duuuuh mkuu wakalipeleka wapi jasho walivyolitoa,,,,,,,
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app