Je, naweza pata gari la mizigo ya ndani kutoka Dar tu Kagera

Joined
May 24, 2015
Posts
9
Reaction score
3
Nahitaji kupata namna ya kusafirisha vitu vya ndani kutoka Dar kwenda mkoani Kagera, naweza pata kampuni gari ya usafirishaji au mtu anayehusika ambae gharama zake si kubwa.
 
Nahitaji kupata namna ya kusafirisha vitu vya ndani kutoka Dar kwenda mkoani Kagera, naweza pata kampuni gari ya usafirishaji au mtu anayehusika ambae gharama zake si kubwa.
Nenda Jangwani au kawaone watu wa posta wanayo huduma kusafirisha mizigo mikubwa na midogo. Nimeona kwenye tangazo TBC TV.
Pia tazama website yao. Google Tanzania Posts company.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…