Kama huna moyo wa kiume na Haujasoma na kuMASTER vizur forex nakushaur rudisha mguu kidogo nyuma endelea kupitia makaratasi ila kama umeiva vizur una capita na una MOYO WA KISHUJAA ingia tu.Wakuu naomba kujua kama CRDB wana accept pesa za kutoka Forex, make kama nisha wahi kusikia kwamba hawa accept, Ila sina uhakika mwenye uhakika anisaidie.
Naulozwa kwa ajili ya Kudepose na Ku withdraw pesa
Mkuu nisha pitia Makarayasi miezi 6, na pia ni wapi pasipo na risk? mfano mwaka huu mikoa kama Arusha watu wanakula hasara kubwa sana ya mazao basda ya mvua za masika kukosekana kabisa, hii yote ni risk, hivyo sioni pasipo kuwa na risk mkuu swala ni kutrade kidogo kidogo katika kujifunza na nataraji bado nitatumia miezi 6 tena kujifunza kwa sasa si trade sana kwa sababu ya kupata pesa kwa sababu najua fika ugumu uliopoKama huna moyo wa kiume na Haujasoma na kuMASTER vizur forex nakushaur rudisha mguu kidogo nyuma endelea kupitia makaratasi ila kama umeiva vizur una capita na una MOYO WA KISHUJAA ingia tu.
Na pia hii kitu haina fundi make hata watu walioko kwenye industry miaka na miaka still wanaliwa tu, kuliliwa kupo sana tena sana na kula kupo ingawa kuliwa kunaweza kukawa ni kukubwa kuliko kulaKama huna moyo wa kiume na Haujasoma na kuMASTER vizur forex nakushaur rudisha mguu kidogo nyuma endelea kupitia makaratasi ila kama umeiva vizur una capita na una MOYO WA KISHUJAA ingia tu.
Kiasi kile cha kwanza kufanya deposit kwa broker ndio kiasi hicho kitarudishwa kupitia kadi yako.CRDB wana accept pesa za kutoka Forex
Hao Ni Exim au equitytumia exim.View attachment 2234656
Jibu swali uliloulizwa maana umejibu kitu ambacho ni out of topic, huu ndio ubaya wa Tanzania ujuaji mwingi sana and nani alikuambia ukishindwa wewe kitu na mwenzako atashindwa, ujuaji mwingi sana.Kama huna moyo wa kiume na Haujasoma na kuMASTER vizur forex nakushaur rudisha mguu kidogo nyuma endelea kupitia makaratasi ila kama umeiva vizur una capita na una MOYO WA KISHUJAA ingia tu.
Fungua account equity bank ndo wako vizuri kwenye online transactionsWakuu naomba kujua kama CRDB wana accept pesa za kutoka Forex, make kama nisha wahi kusikia kwamba hawa accept, Ila sina uhakika mwenye uhakika anisaidie.
Naulozwa kwa ajili ya Kudepose na Ku withdraw pesa
Ila kuweka Ni ndani ya sekunde tayari ime reflect to your trading accountExness inachukua wiki nzima ndio hela inaingia naushahidi kabisa mpaka mm nimewaligia simu dadek
hawa si ndo wamekuja na option ya kuweka directly kupitia mitandao ya simu??Ila kuweka Ni ndani ya sekunde tayari ime reflect to your trading account
Equity hata mimi nawakubali.Fungua account equity bank ndo wako vizuri kwenye online transactions
yani mimi nishaconfirm bank kabisa equity ,absa na exim wako vizuri sana zilizobaki sijazifanyia uchunguzi ila naona zitakuwa vizuri. NMB,CRDB zitumie kupokelea mshahara tu na daily expenses kwa kuwa zinapatikana kila chocho ila kwa forex zikimbie.Achana na bank za kibongo kwenye forex.
Chagua bank moja upige nayo kazi[emoji123][emoji123]
1.EQUITY[emoji3581]
2.ABSA[emoji3581]
3.CBA[emoji3581]
4.UBA[emoji3581]
5.DIAMOND TRUST[emoji3581]
6.EXIM[emoji3581]
7.STANBIC[emoji3581]