Je nawezapata masoko

Je nawezapata masoko

Pelham 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
548
Reaction score
99
Habari zenu Wakuu!
Nataka kuanza kuuza biashara ya ubuyu wa kupeki kwa bei poa kabisa, naomba msaada nawezapata wapi masoko ya biashara hii!! na je hii biashara inalipa!!? Naombeni ushauri mwenye uzoefu na hili tafadhali!!
Natanguliza shukrani za dhati kwa ushirikiano mtakaonipa.
 
juice ya ubuyu tamu sana!
mkuu ngoja waje wenyewe hapa lazima kiu yako iishe
 
Back
Top Bottom