Je Nchi haina wazee wakushauri na neno lao likaogopwa na watawala? Tumechoka na Karma

Je Nchi haina wazee wakushauri na neno lao likaogopwa na watawala? Tumechoka na Karma

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nawaza sana Nawaza sana nawaza nasipati majibu.

Nani alimtonya Mh Mpango abwage manyanga na akamsikia mapema nakung'atuka?

Alafu akakosekana Mzee wakukishauri kiti badala yake akasogeza kiti kweli?

Ina maana Mzee wangu Kikwete na weŵe ukatoa ushauri ambao umetuacha na giza nene kuliko mwanga. Hivi kweli mnasoma alama za nyakati au ndio mmeamua liwalo na liwe.

Ina maana nchi haina wazee na mzee ni mmoja JK na Wasira? Hicho chama ni chenu? Au cha wanachama?
Tena mh Mstaafu unasema wachawi wamekufa mtume mtume Karima inakuja

Kwa uwezo mdogo Mungu kanipa sioni picha nzuri kesho naona manyota nyota nawatu kuzimia ndani ya chama.

Sio furaha naona huzuni kwa jambo dogo tu Taifa lilipata msiba na ule msiba haukupangwa hivyo walio shika nchi walipaswa fuwata alichofanya Dr Mpango kuipisha Karima. End
 
Nawaza sana Nawaza sana nawaza nasipati majibu.

Nani alimtonya Mh Mpango abwage manyanga na akamsikia mapema nakung'atuka?

Alafu akakosekana Mzee wakukishauri kiti badala yake akasogeza kiti kweli?

Ina maana Mzee wangu Kikwete na weŵe ukatoa ushauri ambao umetuacha na giza nene kuliko mwanga. Hivi kweli mnasoma alama za nyakati au ndio mmeamua liwalo na liwe.

Ina maana nchi haina wazee na mzee ni mmoja JK na Wasira? Hicho chama ni chenu? Au cha wanachama?
Tena mh Mstaafu unasema wachawi wamekufa mtume mtume Karima inakuja

Kwa uwezo mdogo Mungu kanipa sioni picha nzuri kesho naona manyota nyota nawatu kuzimia ndani ya chama.

Sio furaha naona huzuni kwa jambo dogo tu Taifa lilipata msiba na ule msiba haukupangwa hivyo walio shika nchi walipaswa fuwata alichofanya Dr Mpango kuipisha Karima. End
Watumishi tumeionya ccm Kuna anguko kuu laja hawasikii

Salama yao ni kuachana na makafara na kutubu kurudi kwa Mungu tu. Mama wanambebesha mzigo zito kweli hii miungu haiwezinkuilisha
 
Emaneli Nchimbe atakuwa raisi baada ya miaka 3 toka sasa
 
Kwa safu hiiCCM itakumbana na upinzani mkubwa ndani na nje ya chama. itabidi itumie mabavu sana kama kuteka, kuua, magereza, kufungia media kuendelea kutawala miaka mitano ijayo.
 
Nawaza sana Nawaza sana nawaza nasipati majibu.

Nani alimtonya Mh Mpango abwage manyanga na akamsikia mapema nakung'atuka?

Alafu akakosekana Mzee wakukishauri kiti badala yake akasogeza kiti kweli?

Ina maana Mzee wangu Kikwete na weŵe ukatoa ushauri ambao umetuacha na giza nene kuliko mwanga. Hivi kweli mnasoma alama za nyakati au ndio mmeamua liwalo na liwe.

Ina maana nchi haina wazee na mzee ni mmoja JK na Wasira? Hicho chama ni chenu? Au cha wanachama?
Tena mh Mstaafu unasema wachawi wamekufa mtume mtume Karima inakuja

Kwa uwezo mdogo Mungu kanipa sioni picha nzuri kesho naona manyota nyota nawatu kuzimia ndani ya chama.

Sio furaha naona huzuni kwa jambo dogo tu Taifa lilipata msiba na ule msiba haukupangwa hivyo walio shika nchi walipaswa fuwata alichofanya Dr Mpango kuipisha Karima. End
Usitishe watu! Katishe wanao huko kama unao! Kila kitu kimeshapangwa na Mungu, kama umeumia na kama ni mwanamme ungana na wanaume wenzako muvumilie hadi 2030 panapo majaaliwa.
 
Usitishe watu! Katishe wanao huko kama unao! Kila kitu kimeshapangwa na Mungu, kama umeumia na kama ni mwanamme ungana na wanaume wenzako muvumilie hadi 2030 panapo majaaliwa.
Ogopa watu wanaokupigia makofi kinafiki ukiumwa wanapiga makofi ukiwa mzima wanapiga makofi. End
 
Back
Top Bottom