Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hilo kabila la latin lilitokea wapiNawe ebu jaribu kwenye internate isiwe mvivu mpaka kwenye Google
Ila kwa uelewa wangu Mimi kulikuwa na makabila wawili watio Latin & Greek huko English.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me najua wale Latinas huwa wapo kwenye porns sijui zaidPia kuna nchi zinaitwa latin america lakini ukiangalia ramani nchi inayoitwa Latin haionekani naombeni kujuzwa kuhusu hili wadau mana lugha yao ni moja ya lugha maarufu duniani na vitu vingi kisayansi utakuta vina majina ya ki Latin.
Me najua wale Latinas huwa wapo kwenye porns sijui zaidPia kuna nchi zinaitwa latin america lakini ukiangalia ramani nchi inayoitwa Latin haionekani naombeni kujuzwa kuhusu hili wadau mana lugha yao ni moja ya lugha maarufu duniani na vitu vingi kisayansi utakuta vina majina ya ki Latin.
GraciasWalatino ni kabila ambalo asili yake ni Italia miaka hiyo ya nyuma sana wakitokea katika kabila la kitaliano sehemu iliyoitwa latium. Kipindi kile cha utawala wa kirumi ulipokuwa uki teka na kutawala makabila mengine ulisaidia kusambaza tamaduni za kilatino.
Na hii baadaye ikaja kuwa inamaanisha kuwa ni muungano wa makabila ya kiitaliano ya Dacia,iberia,lliria na gaulo haya makabila ardhi yao ilikuwa imechukuliwa na wakoloni wa kilatin. Hivyo wote wakachukuliwa na kuunganishwa na tamaduni za kilatino.
Ila kabila lenyewe la kilatin lilikuwa na asili ya italia sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Lazio.
Kwa hiyo walipeta hayo makabila mengine ndo wakayafanya yawe ya kilatin au kizungu latinizatio.
Mwishoni mwa karne ya 15 na 16 baada ya kuanguka utawala wa kirumi upande wa magharibi ureno,hispania na ufaransa wakaanza kuunda tawala zao.
Mpaka karne ya 19 yale yaliyokuwa makolono ya marekani yakaanza kufahamika kama latin america.nmejaribu kufupisha sababu naandikia kwenye simu.
Walatino ni kabila ambalo asili yake ni Italia miaka hiyo ya nyuma sana wakitokea katika kabila la kitaliano sehemu iliyoitwa latium. Kipindi kile cha utawala wa kirumi ulipokuwa uki teka na kutawala makabila mengine ulisaidia kusambaza tamaduni za kilatino.
Na hii baadaye ikaja kuwa inamaanisha kuwa ni muungano wa makabila ya kiitaliano ya Dacia,iberia,lliria na gaulo haya makabila ardhi yao ilikuwa imechukuliwa na wakoloni wa kilatin. Hivyo wote wakachukuliwa na kuunganishwa na tamaduni za kilatino.
Ila kabila lenyewe la kilatin lilikuwa na asili ya italia sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Lazio.
Kwa hiyo walipeta hayo makabila mengine ndo wakayafanya yawe ya kilatin au kizungu latinizatio.
Mwishoni mwa karne ya 15 na 16 baada ya kuanguka utawala wa kirumi upande wa magharibi ureno,hispania na ufaransa wakaanza kuunda tawala zao.
Mpaka karne ya 19 yale yaliyokuwa makolono ya marekani yakaanza kufahamika kama latin america.nmejaribu kufupisha sababu naandikia kwenye simu.
Walatino ni kabila ambalo asili yake ni Italia miaka hiyo ya nyuma sana wakitokea katika kabila la kitaliano sehemu iliyoitwa latium. Kipindi kile cha utawala wa kirumi ulipokuwa uki teka na kutawala makabila mengine ulisaidia kusambaza tamaduni za kilatino.
Na hii baadaye ikaja kuwa inamaanisha kuwa ni muungano wa makabila ya kiitaliano ya Dacia,iberia,lliria na gaulo haya makabila ardhi yao ilikuwa imechukuliwa na wakoloni wa kilatin. Hivyo wote wakachukuliwa na kuunganishwa na tamaduni za kilatino.
Ila kabila lenyewe la kilatin lilikuwa na asili ya italia sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Lazio.
Kwa hiyo walipeta hayo makabila mengine ndo wakayafanya yawe ya kilatin au kizungu latinizatio.
Mwishoni mwa karne ya 15 na 16 baada ya kuanguka utawala wa kirumi upande wa magharibi ureno,hispania na ufaransa wakaanza kuunda tawala zao.
Mpaka karne ya 19 yale yaliyokuwa makolono ya marekani yakaanza kufahamika kama latin america.nmejaribu kufupisha sababu naandikia kwenye simu.
Walatino ni kabila ambalo asili yake ni Italia miaka hiyo ya nyuma sana wakitokea katika kabila la kitaliano sehemu iliyoitwa latium. Kipindi kile cha utawala wa kirumi ulipokuwa uki teka na kutawala makabila mengine ulisaidia kusambaza tamaduni za kilatino.
Na hii baadaye ikaja kuwa inamaanisha kuwa ni muungano wa makabila ya kiitaliano ya Dacia,iberia,lliria na gaulo haya makabila ardhi yao ilikuwa imechukuliwa na wakoloni wa kilatin. Hivyo wote wakachukuliwa na kuunganishwa na tamaduni za kilatino.
Ila kabila lenyewe la kilatin lilikuwa na asili ya italia sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Lazio.
Kwa hiyo walipeta hayo makabila mengine ndo wakayafanya yawe ya kilatin au kizungu latinizatio.
Mwishoni mwa karne ya 15 na 16 baada ya kuanguka utawala wa kirumi upande wa magharibi ureno,hispania na ufaransa wakaanza kuunda tawala zao.
Mpaka karne ya 19 yale yaliyokuwa makolono ya marekani yakaanza kufahamika kama latin america.nmejaribu kufupisha sababu naandikia kwenye simu.
Walatino ni kabila ambalo asili yake ni Italia miaka hiyo ya nyuma sana wakitokea katika kabila la kitaliano sehemu iliyoitwa latium. Kipindi kile cha utawala wa kirumi ulipokuwa uki teka na kutawala makabila mengine ulisaidia kusambaza tamaduni za kilatino.
Na hii baadaye ikaja kuwa inamaanisha kuwa ni muungano wa makabila ya kiitaliano ya Dacia,iberia,lliria na gaulo haya makabila ardhi yao ilikuwa imechukuliwa na wakoloni wa kilatin. Hivyo wote wakachukuliwa na kuunganishwa na tamaduni za kilatino.
Ila kabila lenyewe la kilatin lilikuwa na asili ya italia sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Lazio.
Kwa hiyo walipeta hayo makabila mengine ndo wakayafanya yawe ya kilatin au kizungu latinizatio.
Mwishoni mwa karne ya 15 na 16 baada ya kuanguka utawala wa kirumi upande wa magharibi ureno,hispania na ufaransa wakaanza kuunda tawala zao.
Mpaka karne ya 19 yale yaliyokuwa makolono ya marekani yakaanza kufahamika kama latin america.nmejaribu kufupisha sababu naandikia kwenye simu.
[emoji14] [emoji14] [emoji23] [emoji23]Me najua wale Latinas huwa wapo kwenye porns sijui zaid