ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ile kushusha saa 12 maana yake nini,? Au haina maana.Siyo nchi zote kwamba hushusha bendera zao saa 12 jioni.
Wengine ikipanda labda iende nusu mlingoti. Vinginevyo imechakaa ya kutupa.
Ile kushusha saa 12 maana yake nini,? Au haina maana.
Kusimama ni swala la kizalendo ambalo hatuangalii mataifa mengine wanafanya nini, asiyependa ahamie Burundi. Binafsi Ile NIDHAMU ya kizarendo naipenda sana, mtu anayehoji hilo na ni mTanzania hana maanaSwali linaeleweka wakuu naombeni kujuzwa najua JF wengi mmesafiri mambele huko; je, huko kuna taratibu za kushusha bendera na watu wakasimama kusubiri filimbi ipulizwe nchi za wenzetu huko?
Kwa tafsiri hii kuna baadhi ya nchi kama.... ilitakiwa iwe nusu mlingoti saa zote , au nasema uongo ndugu zangu?🐒Bendera inapokuwa juu inatafsiriwa kuwa serikali iko kazini au iko macho.
Ndiyo Ukweli WenyeweKwa tafsiri hii kuna baadhi ya nchi kama.... ilitakiwa iwe nusu mlingoti saa zote , au nasema uongo ndugu zangu?🐒
Mimi ile ya kijani ikishushwaga nachuchumaa kabisa hadharani bila aibu na qunyerSwali linaeleweka wakuu naombeni kujuzwa najua JF wengi mmesafiri mambele huko; je, huko kuna taratibu za kushusha bendera na watu wakasimama kusubiri filimbi ipulizwe nchi za wenzetu huko?
Yule aliezungushw kwa toroli?katk safr ya kwenda kuapishwa kuw malaika mkulungwa!!Ndiyo Ukweli Wenyewe
Msemakweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Na ukiwa mpenzi wa Mungu unaweza ukaitwa haraka ukapewe umalaikaNdiyo Ukweli Wenyewe
Msemakweli Ni Mpenzi Wa Mungu