Je, ndo haya yaliyoandikwa yanatukia?

Je, ndo haya yaliyoandikwa yanatukia?

kashande

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
438
Reaction score
281
Habarini ndugu wana Jf,
Huu ni uzi wangu wa pili kuandika. Leo katika pitapita zangu katika kitabu kitakatifu (Biblia),nimekutana na mambo ya kustaajabisha ambayo na mimi nashangaa kwamba je haya yaliyoandikwa karne zilizopita ndo yanatukia kipindi hiki au ndo mwisho unakaribia??
Naomba tushirikishane na mnizaidie katika kitabu hiki cha Wafalme...

1Wafalme 19: 11-12
(Akasema "Toka,usimame mlimani mbele za Bwana."Na tazama Bwana akapita. Upepo mwingi wa nguvu ukaipasua milima, ukaivunjavunja miamba mbele za Bwana; lakini Bwana hakuwepo katika upepo ule;na baada ya upepo, tetemeko la nchi, na baada ya tetemeko la nchi kukawa na moto;lakini Bwana hakuwamo katika moto ule; na baada ya moto sauti ndogo, ya utulivu.)

Haya matukio ya moto na tetemeko yametokea huko Bukoba, na upepo mkali uliovuma ukaleta maafa makubwa umetokea juzi huko Haiti mpaka upepo huo mkali ukaitwa "Matthew". Naombeni ufafanuzi juu ya haya.
 
Habarini ndugu wana Jf,
Huu ni uzi wangu wa pili kuandika. Leo katika pitapita zangu katika kitabu kitakatifu (Biblia),nimekutana na mambo ya kustaajabisha ambayo na mimi nashangaa kwamba je haya yaliyoandikwa karne zilizopita ndo yanatukia kipindi hiki au ndo mwisho unakaribia??
Naomba tushirikishane na mnizaidie katika kitabu hiki cha Wafalme...

1Wafalme 19: 11-12
(Akasema "Toka,usimame mlimani mbele za Bwana."Na tazama Bwana akapita. Upepo mwingi wa nguvu ukaipasua milima, ukaivunjavunja miamba mbele za Bwana; lakini Bwana hakuwepo katika upepo ule;na baada ya upepo, tetemeko la nchi, na baada ya tetemeko la nchi kukawa na moto;lakini Bwana hakuwamo katika moto ule; na baada ya moto sauti ndogo, ya utulivu.)

Haya matukio ya moto na tetemeko yametokea huko Bukoba, na upepo mkali uliovuma ukaleta maafa makubwa umetokea juzi huko Haiti mpaka upepo huo mkali ukaitwa "Matthew". Naombeni ufafanuzi juu ya haya.

Umeona tetemeko la Bukoba na Upepo wa Haiti pekee!? Mbona kuna majanga mengi na makubwa zaidi yanatokea sehemu mbalimbali duniani.
 
Mbona haya majanga yalikuwepo tangu kale?
Ukihesabu matetemeko yaliyotokea tu miaka 100 iliyopita yatazidi 100
Pia Ukihesabu vimbunga vilivyotokea miaka 100 tu navyo vitakuwa vingi sana

Acheni kukariri ujinga
 
Back
Top Bottom