USIOMBE TU mungu akupe ndoa wengi wanateseka sababu ya midomo yao omba ndoa yenye upendo yenye baraka yenye utulivu wengi wakishaumwa na nyigu ndio wanaanza maombi ya ndoa yenye utulivu wakati huo mzigo uko kwenye mizai ya tanaroads lazima umalizane nayo lazima umalizane na kila kitu kabla ya tukio halisi kufikia tamati
Mungu akupe wewe unaeenda kuoa kesho na keshokutwa upendo wa amani katika ndoa yako
yangu itafika, nina matumaini makubwa maana nina juhudi ktk kuimwagilia na kuipalilia kuondoa magugu maji na kuweka mbolea kuhakikisha inastawi kila siku ....
Hata wewe ukiamua, unaweza. Saa nyingine ni juhudi zako binafsi.
Mungu akupe baraka zaidi na mtangulize yeye kaktika ndoa yako utafika tu mkuu.Na kumbuka kuwa tunaishi mara moja tu lakini tukiishi vizuri mara moja inatosha.