Je ndoa yenu imechelewa kupata mtoto? ukweli ndio huu!!!!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wanawake wanamegwa na midume hovyo akiona hapati mtoto kutoka kwa mume wake wa ndoa.
Chanzo cha jitihada hizi ni kukwepa lawama kutoka kwa mama mkwe na mafiwi.
Pia wanaume wengi hawako tayari kupima afya ya uzazi.
 
mmmmh hao wanaoenda kutafuta huko nje wanakua wameshajua tatizo ni nini?
 
Mungu anistiri lakini ntasubiri na ntajitahidi kutafuta mbinu nyengine lakini sio za kulala na mwanamme mwengine...
 
Mungu anistiri lakini ntasubiri na ntajitahidi kutafuta mbinu nyengine lakini sio za kulala na mwanamme mwengine...
Msimamo imara wa mwanamke anaye jua kujithamini.
 
Jamani sitetei upuuzi huu, sasa ikiwa tumejaribu miaka 3-4 na hutaki kupima afya unategemea nini, kila mwanamke anahitaji kuwa mama one day, lazima njia mbadala itatumika.

Conclusion, acheni uwoga wa kucheck afya saa nyingine matatizo ni madogo, pili msiwaache mama na dada zenu kuwanyanyapaa wake zenu.
 

MadameX bora umeongea ukweli, wanawake wengi wanapinga licha ya kuwa huwa wanamegwa na waganga wa kienyeji ili wapate mimba.
Mbinu za waganga ni kwamba eti dawa inapakwa kwenye mchi halafu mganga anaingiza mchi wake kwenye kinu cha mwanadada
 
Last edited by a moderator:

MadameX bora umeongea ukweli, wanawake wengi wanapinga licha ya kuwa huwa wanamegwa na waganga wa kienyeji ili wapate mimba.
Mbinu za waganga ni kwamba eti dawa inapakwa kwenye mchi halafu mganga anaingiza mchi wake kwenye kinu cha mwanadada
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…