Je, neno "kufariki" linatumikaje?

Je, neno "kufariki" linatumikaje?

Economist Jay

Member
Joined
Feb 18, 2016
Posts
42
Reaction score
51
Niliona BBC Swahili wameandika kichwa cha habari kwamba "kikosi cha Gambia kingefariki" walipokuwa wakieelekea Afcon, je hapa hili neno limetumika ipasavyo? Hapa wanamaanisha kikosi kina moyo?
 
Back
Top Bottom