Je neno Mbovu lina maana mbili?

Je neno Mbovu lina maana mbili?

jay311

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
2,932
Reaction score
2,715
Kwenu wataalam wa lugha, huwa najikuta natumia au kusikia neno mbovu likitumia kwa nyakati tofauti moja likimaanisha mbovu( kwa mfano Taswira ilikuwa mbovu),Pili; na mara nyingine utasikia kwa mfano Huyu mchezaji ni m-bovu.

Je hili neno mbovu lina double meaning zinazokaribia kushabihiana?
 
Mbovu ya kwanza ni tofauti na mbovu yapili.
Mbovu ya kwanza silabi mbo hutamkwa kwa pamoja na neno Lima silabi 2, mbo vu. na wakati katika neno lapili kuna udondoshaji wa irabu u.
Yaani neno ni mubovu kwahiyo u inadondoshwa na kubaki mbovu na silabi m hutakmwa peke na neno hilo kuwa na silabi 3 m bo vu.
 
Mbovu ya kwanza ni tofauti na mbovu yapili.
Mbovu ya kwanza silabi mbo hutamkwa kwa pamoja na neno Lima silabi 2, mbo vu. na wakati katika neno lapili kuna udondoshaji wa irabu u.
Yaani neno ni mubovu kwahiyo u inadondoshwa na kubaki mbovu na silabi m hutakmwa peke na neno hilo kuwa na silabi 3 m bo vu.
Hence maana mbili right?
 
Back
Top Bottom