Je Ngugi wa Thiong'o yupo sahihi?

Je Ngugi wa Thiong'o yupo sahihi?

Sir Khan

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
5,730
Reaction score
11,576
Ngugi wa Thiong'o ni mwandishi nguli wa riwaya na tamthiliya.miongoni mwa kazi ni:"this time tommorow" ,"weep not child"na "the grain of wheat".kitabu chake kilichofanya niandike uzi huu ni kile cha "devil on the cross"(shetani msalabani).
bila kupoteza muda niende kwenye point yangu,kwenye kitabu hiki mwandishi(Ngugi)anasema;"maendeleo ya dunia yote yameletwa na mwafrika,kila jiji kubwa,benki kubwa,nchi tajiri na kila aina ya maendeleo ya amerika,ulaya na asia yamejengwa na kupatikana kwa jasho na damu ya mtu mweusi(mwafrika)" je jambo hili ni kweli au tunajipa sifa za bure?
NB:nukuu hii ime generalize maelezo marefu.
%by Sir Khan.born 2 win%
 
Nadhan amebase kwenye biashara ya utumwa.
Ni kweli waafrika hasa Wa tz walichukuliwa kama watumwa Na kwenda kufanya kazi huko mambele....Na kazi mojawapo ni ujenzi
 
Hapana amefanya majumuisho ya kiujumla kwa sababu ama kwa kusukumwa na "Uafrikanizimu" wake ama ile dhana ya Utumwa kwa mtu mweusi!

Kwa kiwango kikubwa maendeleo yao hayahusiani na michango yetu per se!...ni juhudi zao wenyewe. Waafrika tumechangia baada ya wao kuanza kuimarika.

Mifumo ya kibenki kwa mfano, Mhadzabe amechangia wapi katika kuuanzisha?
 
eti "the river between" alikuwa alikuwa anaongelea papuchi,wabongo konyo sana
kumbe nimeenda nje ya mada!!!
inaoneka huyu jamaa anapenda sana mambo ya papuchi.kwa mfao kwenye hiki kitabu anasema"cunt is not a soap that it will perish"(uke sio sabuni kwamba itaisha)hii inasapoti wanawake watoe papuchi kwa wote
 
inaoneka huyu jamaa anapenda sana mambo ya papuchi.kwa mfao kwenye hiki kitabu anasema"cunt is not a soap that it will perish"(uke sio sabuni kwamba itaisha)hii inasapoti wanawake watoe papuchi kwa wote
[emoji23]
 
Unajua historia ambazo tunazo niza juzi juzi tu(zikionesha mwafrika ni mtumwa) tena wazungu wametumezesha nyingine. Alafu zile za mwanzo/zamani wameziweka ki iman/kidini ili tubaki kuamin bila kuhoji.
Hivi kweli MUNGU wa wote alete manabii na mitume wote weupe? Hawa jamaa wametukalia historia nyingi ila nani ahoji?
 
inaoneka huyu jamaa anapenda sana mambo ya papuchi.kwa mfao kwenye hiki kitabu anasema"cunt is not a soap that it will perish"(uke sio sabuni kwamba itaisha)hii inasapoti wanawake watoe papuchi kwa wote
HUKUWAHI KUMWELEWA NGUGI!
 
Nikiweza kukutawala na kukutumikisha kwa manufaa yangu, na nikanufaika kupitia wewe hizo ni juhudi zangu.jamii au mtu anaweza kupata maendeleo kutokana na mawazo chanya uliyonayo na kuyaweka ktk vitendo au uhalisia. Tulitawaliwa pengine kutokana na uzuzu wetu waafrika. Angalia hadi leo maendeleo yetu siasa zetu ni za kipuuzi.tumedhihirisha waafrika ni ma-shit holes
 
Hapana amefanya majumuisho ya kiujumla kwa sababu ama kwa kusukumwa na "Uafrikanizimu" wake ama ile dhana ya Utumwa kwa mtu mweusi!

Kwa kiwango kikubwa maendeleo yao hayahusiani na michango yetu per se!...ni juhudi zao wenyewe. Waafrika tumechangia baada ya wao kuanza kuimarika.

Mifumo ya kibenki kwa mfano, Mhadzabe amechangia wapi katika kuuanzisha?
Ukisema kafanya majumuisho halafu wewe unalitaja kabila moja sijui kama upo sahihi mkuu.
 
Kupitia history tumesoma kwamba once upon a time wayahudi walikuwa watumwa mikononi mwa Misri kwa angalau miaka 300 . But Leo hii kila Mtu anajua Israel wapo mbali kiasi gani. Labda tutumie mfano huo pia kwamba kwa nini Israel imepiga hatua kubwa japokuwa wamepitia misukosuko mingi.
 
Back
Top Bottom