jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
kiss me honieHazina expire date mkuu..hebu usiitoe yakwako, hata nikiwa na mawazo inanifanya nitabasamu na kucheka jinsi ilivyo..
Habari za asubuhi Wadau?
Leo Nimeona Tujadili Kuhusu Avatar,Ukiacha Avatar Yako mwenyewe uliyoiweka ni Avatar ipi nyingine unaipenda,Na sababu gani Kama kuna sababu,manake Avatar nyingine unaweza kuipenda hata kama huna sababu,mimi binafsi nilikua naipenda sana Avatar Ya Nguli ile ya zamani inamuonyesha Sharobaro mmoja hv Kavaa macheni,pete na Jersey ya Chicago Bulls......Je wewe unapenda Ipi? Nawasilisha wadau...
Nazikubali nyingi sana, kuzitaja haitoshi.
Binafsi hizi Avartar ndio zinanifanya niwe na naifikiria sana JF.
Ila kwa kuzitaja chache ni ya Asha D na Invisible.
Nadhani ya Asha D naipenda sana sababu ile Movie ya "Avatar" niliipenda sana, afu nilitokea kuvipenda vile viumbe!
Invisible, bado namtafakari huyu mtu.... ananivutia sana.
mi hii yako sometime nakuja jf ili niione tu,Me zote tu ninazokutana nazo, ila kuna moja tu ilinikera kipindi fulani, sijui kama mwenyewe aliibadili....
ya husninyo na uporoto.
zawadi nitapewa nini na lini?we ndio mjanja unajua vitu vizuri.
nitaku2mia vocha.zawadi nitapewa nini na lini?
Vocha mtumie CPU muuza chipsi.nitaku2mia vocha.