MBUZI MWENYE BUSARA
Senior Member
- Nov 24, 2019
- 143
- 155
Kwanini Nabaki Afrika huwa haizungumziwi sana kulinganisha na Alaf?.
Bati za matajiri ambao huwakuti jf wakiulizia gharama za ujenziKwanini Nabaki Afrika huwa haizungumziwi sana kulinganisha na Alaf?.
Vipi hizi za TAISHAN ubora wake ukojeMsouth ni jina tu yaani nickname inayotambulisha aina hiyo ya mabati
IIa hapo hapo kwenye m-south kuna zenye ubora wa juu kama Alaf, kuna zenye ubora wa kawaida kama Sunshare na ubora mdogo
Hao jamaa siwajui sana ila ALAF, SUNSHARE na ANDO wako vizuriVipi hizi za TAISHAN ubora wake ukoje
Sawa mkuu nashukuru kwa mchango wakoHao jamaa siwajui sana ila ALAF, SUNSHARE na ANDO wako vizuri
Poa mkuuSawa mkuu nashukuru kwa mchango wako
Hao jamaa siwajui sana ila ALAF, SUNSHARE na ANDO wako vizuri