kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
PeriodHutakiwi kuwahi wala kuchelewa hit the piont at a time being
unapojishauri shauri niseme au niache unakuwa na wacwac sana kusema au kuacha huo ndiyo muda mwafaka
Haraka haraka hainaga baraka .Chelewa chelewa utamkuta mwana sio wako.
Wazee walipokutana na waganga walisema hvo..
Miaka ya hivi karibuni wazee wakasema ya kuwa haraka ukiichanganya na haraka ni sawa na Do you have a real liking for someone? Are there unique feelings that you have for someone? Do you feel some sort of connection you cannot quite understand? There is a way for you to find out....Haraka haraka hainaga baraka .
Wazee walivokutana na kusema [emoji115] walikuwa na maana yao.
Punguza moto binti ukikubali kirahisi hutogegeda. Ni kunyooka na ww hadi uachie hiyo papuchiNa baada ya kueleza hisia muwe waelewa, sio mtu anakueleza vizuri kabisa kwamba hayuko tayari unalazimiiiiisha unakomaaa utadhani uliumbwa udate nae mxyuuuu.
Hiyo ndio tunda linalika kirahisi sanaAkishakuweka kwa "friend zone "... Tunda hulitoboi.
Nyooka na geisha kama ni lazimaPunguza moto binti ukikubali kirahisi hutogegeda. Ni kunyooka na ww hadi uachie hiyo papuchi