Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo hutakuwa na uelewa nayo,kumiliki nyumba au kujenga nyumba ili upange ni jambo jema na zuri endapo utafata vigezo stahiki.mfano unaweza ukaamua kufanya hivyo ukawa unapangisha huku unatumia hiyohiyo nyumba yako kama security( kuombea mkopo), mbili uneweza ukaamua kufanya hivyo utakuwa umesave time ya wewe kufanya mambo mengine kwa maana nyumba hiyo itakuwa inakuingizia wewe pesa bila wewe kuifanyia kazi (money work for you= you never work for money) kwa hivyo utakuwa umesave time na kufanya mambo mengine. Tatu kufanya hivyo utakuwa upo kwenye risk ndogo ya kupoteza mtaji wako kiasi kama sio wote.4 kufanya hivyo utakuwa umeingia katika ulimwengu wa financial freedom. Ila angalizo kama nilivyosema mwanzo mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo utakuwa huna uelewa nayo, sasa ili kufanikiwa kaatika any types of real estate/investment yeyote inakupasa kupita kwenye steg hizi tatu...

1.Elimu kuhusu real estate(uwekezaji katika nyumba au viwanya)
2.Uzoefu
3.BOOM!!!! Ongezeko la kipato
Kwa wale wanaoogopa biashara ya real estate niwadokeze tu Tajiri na billionaire wa kwanza wa babilon ametokea kwenye hii biashara ya real estate.
 
Nimesoma comments za huyo laki si pesa kwenye uzi huu mojawapo ni comment inayosema "wahindi wana hela za majini" nimechoka alafu ni gamba mwenzio. Zero brain
Bila shaka unataka kukalia fupi nene wewe na huyo Gamba mwenzako.
 
Unachosahau ni kuwa baada ya miaka 29 lazima uwe umefanya ukarabati mara kadhaa (ikiwemo kubadilisha paa, nyaya za umeme na design kadhaa za nyumba. Pia, design za miaka hiyo usidhanie utampangisha mpangaji wa maana zaidi ya wanachuo na mateja
Sawa, lakin wajua zile nyumba za NHC za Kariakoo, Ubungo na kwingineko zina zaid ya miaka 40? Ni wangapi wana uwezo wa kumudu nyumba ya NHC Kariakoo pamoja na muonekano wake wa kizaman? Kinachozifanya ziendelee 'kuuza' ni prime location. Baada ya miaka 29, hata kinzudi itakuwa prime location, kama vile Sinza ilivyokuwa mashamba ya mpunga miaka 30 iliyopita.
 
Future ni unpredictable ndugu. Nani alijua kuwa fremu za biashara kariakoo zitakuwa obsolete miaka ya hv Karibuni? Watu walikwenda na upepo wa bandari mpya ya Bagamoyo wakanunua Maeneo huko Mlingotini na njia ya Msata kiko wapi?
 
Tatizo uoga umetutawala sana kitu kitakacho kutoa kimaisha ndo umakiogopa kukifanya
 
Future ni unpredictable ndugu. Nani alijua kuwa fremu za biashara kariakoo zitakuwa obsolete miaka ya hv Karibuni? Watu walikwenda na upepo wa bandari mpya ya Bagamoyo wakanunua Maeneo huko Mlingotini na njia ya Msata kiko wapi?
Case ya Kariakoo ni very unique and rare. Wote hapa tunajua nan kavuruga uchumi wa nchi na kupelekea hali hiyo, sema tu tunaogopa kumtaja. Ndo hapo utajua biashara ni siasa. So kuwa na imani, hii hali itabadilika 2026.
 

Ukiwa unapokwa hiyo 600.000 at the same time land and property Ina appreciate in Value! Mi nimefanya biashara, nimefanikiwa, ila ikiamua kukukata Inakata kweli ~

Ukiweka 150m kwenye nyumba, na kuwa unakula 600.000 kwa mwezi in 10 years that house and land can have a value of 300m
 
Case ya Kariakoo ni very unique and rare. Wote hapa tunajua nan kavuruga uchumi wa nchi na kupelekea hali hiyo, sema tu tunaogopa kumtaja. Ndo hapo utajua biashara ni siasa. So kuwa na imani, hii hali itabadilika 2026.
2019-2026 tunaishije? Hapo ndio ujue Real estate/Property business kwa Tanzania ni kujiletea umaskini
 
... assumption boss. Hata kama vikijaa robo tu kwa mwezi mzima bado inalipa kuliko nyumba ya kupangisha kwa mwezi.
 
Unaishi nchi gani ndugu? Tembelea viwanja Goba,Mbweni, Bunju uone maajabu ya maporomoko ya bei
 
Unaishi nchi gani ndugu? Tembelea viwanja Goba,Mbweni, Bunju uone maajabu ya maporomoko ya bei

Kwa mda Huu kila kitu kimeporomoka, na biashara ndio zaidi kabisa, but msimu mgumu ukipita investment ya nyumba will last!

Sisemi watu wasifanye biashara, ila kuna factors nyingi sana kuwa considered kwenye biashara!

Kama is a inject hiyo 150m kwa biashara ya mda yenye faida tayari sawa, ila kama ndo unainza utaanguka ~ ukifaulu ni bahati sana
 
2019-2026 tunaishije? Hapo ndio ujue Real estate/Property business kwa Tanzania ni kujiletea umaskini
Tuwe wakweli, biashara zote halali bongo zimeyumba sana. Hivyo kuja wakat you just need to survive, to just be operational. Ukipigwa na dhoruba na uko katikati ya bahari, usijitie ujuaji wa kutaka kuogelea ufike ufukweni, just keep yourself afloat and wait for rescue.
Mimi nazielewa sana hoja za upande wako. Ila natambua udhaifu wa wengi. Hawana financial literacy. Sio wajasiliamali. Sio wachaga, wakinga, wapemba au wahindi ambao wana fursa ya kupata informal education ya biashara. Hawa wanahitaji biashara ambayo haihitaji micromanagement. Tukitaka kuwadaidia tuwaelekeze biashara mbadala.
 
Bila shaka unataka kukalia fupi nene wewe na huyo Gamba mwenzako.
Mimi sio buku7 kama huyo mwenzako laki si pesa. Matusi ya nini... Nimekusifu umepambanua ujinga wake
 
Hujamuelewa labda usome kuanzia story za mwanzo hapo juuu, ukifanyia biashara 150.000.000 ndani ya miaka mitano utakuwa umeishapata zaid ya 600.000.000
 

Aisee nimefurahi sana

Sikuwahi kuliangalia hili from this point of view. You comments shows that majority of wachangiaji hapa wanaweza kuwa sahihi depending on what faculty they are looking at the matter at hand

Mimi ni muumini wa Robert Kiyosaki anaefundisha kwamba Asset is anything that brings you money/income and liability is anything that uses/spends your money. Katika mchanganua wako i am guessing mimi naangukia kwenye kundi la Entrepreneur.

Umedadavua mada in a highly intelligent fashion and your comments are highly educational. Mtazamo wako wa mambo ni mpana na mrefu tena wa tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…