Kwa mda mrefu, nilikuwa nikijua kuwa tunasema "dada yangu." Lakini mda kidogo uliopita, nilikuwa nikitazama runinga ya KBC katika kipindi fulani kinachojihusisha na ukuzaji wa lugha ya Kiswahili, na huyu mhojiwa akasema kuwa mtungo sahihi ni Dada Wangu kwasababu neno "dada" liko katika ngeli ya a-wa. Je, wana JF wasemaje?