Je, Ni gharama kiasi gani kuanzisha FM Radio station ya kilometre 200?

Je, Ni gharama kiasi gani kuanzisha FM Radio station ya kilometre 200?

Xperience

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2012
Posts
278
Reaction score
51
Ninaomba kujua kuhusu hilo wakuu.

Radio ni mojawapo ya biashara ambazo zinawafaa vijana kama wewe na mimi wandugu. Ninaomba unitafutie kampuni zinazofanya supply na kufunga vifaa na program scheduling za radio. Nina mfadhili amenishauri nitafute hiyo gharama kwa hapa Tanzania.
 
Mkuu upo wapi ni pm nikujuze,maana mimi ni mtaalamu wa mambo ya radio za fm
 
Sijamsikia mleta uzi,kama na yeye anatakaje,hapo ndipo nitatiririka
 
ndewelo hujamsikia kitu gani hapo?angetaka pm angesema toka mwanzo..km unajiamini weka mambo hadharani kaka au hutaki kazi?
 
Ninaomba kujua kuhusu hilo wakuu.

Radio ni mojawapo ya biashara ambazo zinawafaa vijana kama wewe na mimi wandugu. Ninaomba unitafutie kampuni zinazofanya supply na kufunga vifaa na program scheduling za radio. Nina mfadhili amenishauri nitafute hiyo gharama kwa hapa Tanzania.

Karibu tukuhudumie

Tafadhali tembelea www.radiotz.com kwa maelezo na msaada zaidi.
 
Back
Top Bottom