Je ni haki kisheria kulipa ushuru wa halmashairi ikiwa nalipa TRA?

Twins

New Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Samahani jamani mnaojua sheria naombeni msaada wa kimawazo. Mi nina kiduka changu,ninajitahidi kulipa TRA kila mwaka. Sasa nashangaa watu wa halmashauri yangu wanadai kuwa natakiwa kulipa ushuru kila mwezi sh 3000/. Je kisheria ni halali?
 
yeah, ni sawa. kuna kodi zinazotozwa na serikali kuu (central government) hizo zinakusanywa na TRA and zile zinatozwa na local government( nimesahau inaitwaje kwa kiswahili) mfano ndo hizo za halmashauri. hizo halmashauri zinatoza kodi ilikusaidia kujiendesha.
 
hizo kodi za halmashauri ni asilimia ngapi ya mapato?maana naona wengi wanajichukulia kiholela tu!
 
Samahani jamani mnaojua sheria naombeni msaada wa kimawazo. Mi nina kiduka changu,ninajitahidi kulipa TRA kila mwaka. Sasa nashangaa watu wa halmashauri yangu wanadai kuwa natakiwa kulipa ushuru kila mwezi sh 3000/. Je kisheria ni halali?

Twins ...soma local government (( finance) Act ya 1982 as amended kisha soma sheria ndogo ya eneo lako husika(by Law) ...cess au service levy et al ni sahihi kwa myjibu wa sheria za nchi. cess au lwvy ni kati ya % 3 na 5%ya pato.
 

kwanini isiwe anaetoa tra asitoe local gov ili asijefanya double taxition..
 
Tii sheria bila shuruti
 
Twins ...soma local government (( finance) Act ya 1982 as amended kisha soma sheria ndogo ya eneo lako husika(by Law) ...cess au service levy et al ni sahihi kwa myjibu wa sheria za nchi. cess au lwvy ni kati ya % 3 na 5%ya pato.
samahani naomba uniattachie hiyo
act niipitie mkuu..
 
kwanini isiwe anaetoa tra asitoe local gov ili asijefanya double taxition..

as i said, kodi zinakusanywa na central gvnt and local gvnt. meaning hizo ela zinaenda sehemu mbili tofauti kwa matumizi tofauti.
sheria zenyewe ndo zilivyotungwa. this is practised in many states in the world.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…