karandarugo
Member
- Apr 23, 2015
- 39
- 7
inategemea mkataba wake na kiongozi wake.
sawa mkuu,lakin pale ofisi kwao hawapewi mikataba kw7bu wanahofu ya kwmba wakitaka kumdhurumu mlinz asiende kwnye vyombo vya sheria kushitaki hiyo kampuni
hiyo pesa ni unyonyaji mkubwa na ndio maana walinzi wengi wanakuwa rahisi kushawishiwa hatari kubwa hipo kwa client