Je ni haki?

nimekukubali mkuu.

technically, mwanmke hana ruhusa ya kunyima mzee gemu, na anatakiwa kulia hata kama haumii wakati wa gemu, ndio maisha bwana msilete mambo ya haki sawa za beijing!!!!!!!!!!!!!!
Duh nimefurahia hapo
 

...madhali unasema amegoma kwa sababu maalum, inakubalika ikiwa hujamuomba radhi, au hajakusamehe.

...hutafeel offended?

...ukiwa offended maana yake 'msg delivered!' ...ili next time ukumbuke!
 

hapo bolded duuuuuh? umeniongezea msamiati,sijui from TUKI au wapi?
 
Jamani kwanini umnyime mwenzio? Hamjui hizo organs ndio wazee wa baraza au kwa lugha ya Pengo sakramenti ya upatanishi!

Annina
 
Mi namshukuru Mungu kwa kuninyima uvumilivu! Game lazima acheze! Na kwa hasira siku akiwa kwenye joto anahitaji huduma, mtarimbo unaweka mgomo. Sijui atauamshaje bila hiari yangu?
it is unfair bro!

kusema ukweli kwa maumbile ya mke yalivyo, unaweza kucheza game hata akiwa amekasirika compaired to mme, mtarimbo ukigoma ndo hivyo tena, hata ukiupepea....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…