Je, ni halali au haramu kumiliki Upupu (uwashao) kwa siye tusio na kibali cha kumiliki bastola za kujilinda dhidi ya wezi na wakabaji!

Je, ni halali au haramu kumiliki Upupu (uwashao) kwa siye tusio na kibali cha kumiliki bastola za kujilinda dhidi ya wezi na wakabaji!

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Jamani bado sijui ikiwa Upupu ni haramu au la! Maana kuna mitaa kuna wapiga roba maarufu, sasa tusio na vibali vya kumiliki silaha tunaruhusiwa kuumiliki kama njia moja wapo ya kujihami kwa tunaojua kuutumia?
 
Back
Top Bottom