Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
Mchango wowote wa maendeleo,mf kujenga maboma,kufyatulisha tofali na kazi nyinyingine za kiserikali iwe ktk kijiji,mtaa,kata au wilaya je ni halali kuchukuwa mchango wa mwananchi bila kumpa risiti ya kiserikali?