The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Kumekuwa na huu mkanganyiko ,mimi nahisi ni halali kwani ile ni sadaka za DINI HUSIKA hivo haitegemewi zisaidie mfano tuseme mbudha,rastaman e.t. kwani nao wanasadaka zao NA WANARUHUSIWA KUJENGA ZAO.
Kwa upande mwingine this is wrong kwan inajenga misingi ya kuigawa jamii mfano tufanye elimu ilioko huko ikawa bora zaidi inaweza fikia mahali dini moja ikawadominated na kuzalisha struggling class.
I submit.
Kwa upande mwingine this is wrong kwan inajenga misingi ya kuigawa jamii mfano tufanye elimu ilioko huko ikawa bora zaidi inaweza fikia mahali dini moja ikawadominated na kuzalisha struggling class.
I submit.