MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Kwa mujibu wa katiba, Tume ya Uchaguzi ambayo ndio inayotoa uhalali wa Mamlaka ya watawala, inateuliwa na Rais, je kimantinki na kiuhalisia ni sawa Rais ambaye naye ni mmoja wa wagombea atakayewekwa kwenye mamlaka na Tume hiyo awe na mamlaka ya kuiteua" Sheikh Issa Ponda