Siyo halali hata kidogo. Hii ni mojawapo ya sababu za kudai katiba mpya.Kwa mujibu wa katiba, Tume ya Uchaguzi ambayo ndio inayotoa uhalali wa Mamlaka ya watawala, inateuliwa na Rais, je kimantinki na kiuhalisia ni sawa Rais ambaye naye ni mmoja wa wagombea...
katiba haidaiwi inatakwa sasa nyie endeleeni kudai mpaka mwisho wa duniaSiyo halali hata kidogo. Hii ni mojawapo ya sababu za kudai katiba mpya.
yaani siye kazi yetu kuwagonga matakotu tunasonga mbele nyie endeleeni kudai katiba mpyaKENGE NYINGINE HII HAPA IMEPOTEA NJIA.... UAAAAAAAAA!!!!!
Utakuwa jinsia ya tatu weweyaani siye kazi yetu kuwagonga matakotu tunasonga mbele nyie endeleeni kudai katiba mpya
Wezi utawajua tukwenda zako mbele huko sasa unatakaje? mzushi tu wewe
Kwani huwezi kudai kitu unachokitaka?katiba haidaiwi inatakwa sasa nyie endeleeni kudai mpaka mwisho wa dunia
Ni Ujinga uliopitiliza ujinga wote, hili linawezekana Bongo ambapo kuna suppression of freedom of speechKwa mujibu wa katiba, Tume ya Uchaguzi ambayo ndio inayotoa uhalali wa Mamlaka ya watawala, inateuliwa na Rais, je kimantinki na kiuhalisia ni sawa Rais ambaye naye ni mmoja wa wagombea atakayewekwa kwenye mamlaka na Tume hiyo awe na mamlaka ya kuiteua" Sheikh Issa Ponda
Sisi hatuna uchaguzi tuna maigizo tupu na kupiga pesa za watuKwa mujibu wa katiba, Tume ya Uchaguzi ambayo ndio inayotoa uhalali wa Mamlaka ya watawala, inateuliwa na Rais, je kimantinki na kiuhalisia ni sawa Rais ambaye naye ni mmoja wa wagombea atakayewekwa kwenye mamlaka na Tume hiyo awe na mamlaka ya kuiteua" Sheikh Issa Ponda
Ulitaka aiteue tume afu imtangaze nani mshindi?Kwa mujibu wa katiba, Tume ya Uchaguzi ambayo ndio inayotoa uhalali wa Mamlaka ya watawala, inateuliwa na Rais, je kimantinki na kiuhalisia ni sawa Rais ambaye naye ni mmoja wa wagombea atakayewekwa kwenye mamlaka na Tume hiyo awe na mamlaka ya kuiteua" Sheikh Issa Ponda
Tanzania ni lazima kwa sababu hatutumii katiba ya nchi.Kwa mujibu wa katiba, Tume ya Uchaguzi ambayo ndio inayotoa uhalali wa Mamlaka ya watawala, inateuliwa na Rais, je kimantinki na kiuhalisia ni sawa Rais ambaye naye ni mmoja wa wagombea atakayewekwa kwenye mamlaka na Tume hiyo awe na mamlaka ya kuiteua" Sheikh Issa Ponda