jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Habari,
Naomba kujua adhabu kwa mdhamini ambaye amemchukulia mtu dhamana baada ya kufungwa kifungo cha nje.
1,endapo mtuhumiwa atakimbia?
2,endapo mtuhumiwa hatokuwa anakwenda kufanya usafi kwa wakati.?
na je kama mdhamini atafanikiwa kumchukua mfungwa wa nje na kwenda kumkabidhi mahakamani na kujitoa udhamini je inaruhusiwa kisheria?
maana kabla ya hukumu mtuhumiwa alitolewa dhamana na dhamana yake ilikuwa ya bondi ya shilingi laki 3,Lakini baada ya kufungwa akatolewa gerezani na kufungwa kifungo cha nje lakini mara hii dhamana yake haikuandikwa ni shilingi ngapi bali endapo mtuhumiwa atatoroka basi tunatakiwa kushirikiana kumpata mtuhumiwa,sasa hapo sijaelewa itaplay ile ile laki 3 au ndo kwenda jela tena.
na je kesi kama hizi huwa zinaisha kumalizwa kimya kimya au ndo mpka mtu amalize hukumj yake?
Ahsanten
Naomba kujua adhabu kwa mdhamini ambaye amemchukulia mtu dhamana baada ya kufungwa kifungo cha nje.
1,endapo mtuhumiwa atakimbia?
2,endapo mtuhumiwa hatokuwa anakwenda kufanya usafi kwa wakati.?
na je kama mdhamini atafanikiwa kumchukua mfungwa wa nje na kwenda kumkabidhi mahakamani na kujitoa udhamini je inaruhusiwa kisheria?
maana kabla ya hukumu mtuhumiwa alitolewa dhamana na dhamana yake ilikuwa ya bondi ya shilingi laki 3,Lakini baada ya kufungwa akatolewa gerezani na kufungwa kifungo cha nje lakini mara hii dhamana yake haikuandikwa ni shilingi ngapi bali endapo mtuhumiwa atatoroka basi tunatakiwa kushirikiana kumpata mtuhumiwa,sasa hapo sijaelewa itaplay ile ile laki 3 au ndo kwenda jela tena.
na je kesi kama hizi huwa zinaisha kumalizwa kimya kimya au ndo mpka mtu amalize hukumj yake?
Ahsanten