kitoto wa vitoto
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 375
- 410
Amkaaa kumekuchaa shekh.....usijee ukaona choo kwenye ndoto mtego huo sheikh.......Wakuu poleni na pilika za kutwa
Hongereni sana kwa kumaliza siku salama,
Naomba kuuliza ni wapi kuna mashamba ya bei rahisi yanayostawi kahawa na migomba?
Ambayo hayana ukame sana natamani nikifikisha miaka 35 au 40 niachane na kuajiriwa rasmi.
Kwa nini natafuta ya Bei rahisi?
N kwa sababu natamani kuchukua shamba kubwa kias mfano hekari 100 au 200
Naombeni mchango wenu wa mawazo.
Napokea ushauri pia karibuni sana
Bei gani huko?Njoo Namtumbo Ruvuma mkuu. Mashamba yapo mengi sana
Kwa nini? Mbona ana mawazo mazuri tu!Amkaaa kumekuchaa shekh.....usijee ukaona choo kwenye ndoto mtego huo sheikh.......
Huko hakuna ukame mkuu?Njoo Namtumbo Ruvuma mkuu. Mashamba yapo mengi sana
Una maana gani?Amkaaa kumekuchaa shekh.....usijee ukaona choo kwenye ndoto mtego huo sheikh.......
Kukatishana tamaa nilipaacha zamanKwa nini? Mbona ana mawazo mazuri tu!