Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Amani iwe na nanyi!
Kama kichwa cha mada hapo ,je ilishawahi kukutokea kukosa au kupoteza kitu ulichokipenda iwe kazi ,masoma ,mpenzi, ajira halafu ukapata kingine kikawa bora zaidi.
Kama baadhi yetu tunavyoaamini "kama kitu sio riziki yao au halali kwako basi huwezi kukipata ".
Niongezee, kuna wakati tunavunjika moyo baada ya kupoteza kitu tunachokipenda then tunaenda kwingine baada ya muda tunakuja kugundua hapa ndo penyewe yaani unajikuta una furaha na kupata mafanikio kupitia sehemu mpya.
Mfano Mimi👇
Mwaka fulani baada ya kumaliza form four ,tulisubiria selection za shule za advance huku tukipiga msuli ma-topics kibao ya combination fulani ya sayansi maana ndo zilibalance ..Tukiangalia na shule tulizojaza na mshkaji tunaona hapa hatari sana tunafika mbali.
Bahati mbaya, selection zinatoka tumechagulia combination nyingine nipo na msela halafu wenetu wamepigwa zile combination za maana ,utani wa hapa na pale mchizi akaniambia tuhamie shule fulani .
Basi nikamwambia mzee kuhusu swala zima ,mzee aisee akasema "Hiyo ndo riziki yako siwezi kukuhamisha kwa vile hata hiyo combination masomo umefaulu vizuri" ...Aisee nilipata uchungu na hyo shule ipo wilaya ina baridi kinoma na hatari .
Mchizi wangu tulienda ripot yeye akiwa anatafutiwa shule ahamie ,bahati mbaya nae akakosa mzee wake na wangu wakaungana maana ni majirani kutusihi tusome hivyo hivyo ndo riziki yetu.
Baaada ya kuendelea na ile combination 👇
Mi na jamaa tulienda chuo kimoja hapa nchini wale wenzetu baadhi pale six walikula three za mwisho na kuanza kusoma diploma wengine zero kabisa ila wapo walipiga mpaka chuo ila ajira walikosa mpaka leo ni watu wa kujitolea.
mwaka mmoja baadae mimi niliajiriwa serikali taaasis fulani na jamaa nae akapata shavu taasisi fulani na alishaenda mpaka nje kuhusu ishu za kikazi.
Wale wenzetu ndo hawa wanapigishana kelele na Tamisemi wawili ni walimu ila ndo hivyo wanalalamika mishahara ni midogo.
Kama kichwa cha mada hapo ,je ilishawahi kukutokea kukosa au kupoteza kitu ulichokipenda iwe kazi ,masoma ,mpenzi, ajira halafu ukapata kingine kikawa bora zaidi.
Kama baadhi yetu tunavyoaamini "kama kitu sio riziki yao au halali kwako basi huwezi kukipata ".
Niongezee, kuna wakati tunavunjika moyo baada ya kupoteza kitu tunachokipenda then tunaenda kwingine baada ya muda tunakuja kugundua hapa ndo penyewe yaani unajikuta una furaha na kupata mafanikio kupitia sehemu mpya.
Mfano Mimi👇
Mwaka fulani baada ya kumaliza form four ,tulisubiria selection za shule za advance huku tukipiga msuli ma-topics kibao ya combination fulani ya sayansi maana ndo zilibalance ..Tukiangalia na shule tulizojaza na mshkaji tunaona hapa hatari sana tunafika mbali.
Bahati mbaya, selection zinatoka tumechagulia combination nyingine nipo na msela halafu wenetu wamepigwa zile combination za maana ,utani wa hapa na pale mchizi akaniambia tuhamie shule fulani .
Basi nikamwambia mzee kuhusu swala zima ,mzee aisee akasema "Hiyo ndo riziki yako siwezi kukuhamisha kwa vile hata hiyo combination masomo umefaulu vizuri" ...Aisee nilipata uchungu na hyo shule ipo wilaya ina baridi kinoma na hatari .
Mchizi wangu tulienda ripot yeye akiwa anatafutiwa shule ahamie ,bahati mbaya nae akakosa mzee wake na wangu wakaungana maana ni majirani kutusihi tusome hivyo hivyo ndo riziki yetu.
Baaada ya kuendelea na ile combination 👇
Mi na jamaa tulienda chuo kimoja hapa nchini wale wenzetu baadhi pale six walikula three za mwisho na kuanza kusoma diploma wengine zero kabisa ila wapo walipiga mpaka chuo ila ajira walikosa mpaka leo ni watu wa kujitolea.
mwaka mmoja baadae mimi niliajiriwa serikali taaasis fulani na jamaa nae akapata shavu taasisi fulani na alishaenda mpaka nje kuhusu ishu za kikazi.
Wale wenzetu ndo hawa wanapigishana kelele na Tamisemi wawili ni walimu ila ndo hivyo wanalalamika mishahara ni midogo.