Kolis, wakati wa kunyonyesha sio wote ambao hawapati hedhi, kutopata hedhi wakati wa kunyonyesha inaitwa lactational amenorrhea na husababishwa na wingi wa kichocheo kinachoitwa Prolactin ambayo ndiyo inayosababisha kutoka maziwa, husababisha kuwa kukosa hedhi, kupata hedhi ukiwa unanyonyesha haina madhara yoyote.Habari zenu wakuu? Nijambo la kawaida kweli kupata hedhi ukiwa unanyonyesha?kama sio ni dalili ya nini? Naomba mnieleweshe. Natanguliza shukrani.
Kolis, wakati wa kunyonyesha sio wote ambao hawapati hedhi, kutopata hedhi wakati wa kunyonyesha inaitwa lactational amenorrhea na husababishwa na wingi wa kichocheo kinachoitwa Prolactin ambayo ndiyo inayosababisha kutoka maziwa, husababisha kuwa kukosa hedhi, kupata hedhi ukiwa unanyonyesha haina madhara yoyote.