Je ni kitu gani kilikufanya uamini Uchawi upo?

Je ni kitu gani kilikufanya uamini Uchawi upo?

Pitia hapa kufupisha...

 
Itapendeza sababu zako ziwe ni sababu ambazo zikuoneshe lazima uchawi upo, sababu hizo zisiwezekane kuwa zinatokana na kitu chochote kingine unachokijua au usichokijua, zithibitishe uchawi upo.

Mfano, ukiona mtu anacheza karata tatu, chekundu, cheusi, ujawa hujaelewa anafanyaje uke mchezo, hapo hutakiwi kusema ule ni uchawi kwa sababu wewe huelewi tu anafanyafanyaje.
 
Itapendeza sababu zako ziwe ni sababu ambazo nmzikuoneshe lazima uchawi upo, sababu hizo zisiwezekane kuwa zinatokana na kitu chochote kingine unachokijua au usichokijua, zithibitishe uchawi upo.
Ingependeza zaidi wadau waelezee kwa kina
 
mimi bado sijakutana na situation ya kunifanya niamini asilimia 100 kama uchawi upo, pia ukiangalia dalili nyingi za magonjwa ya akili na personality dissorder utagundua huenda mara nyingi ubongo unatengeneza matukio si tunaona kama ni uchawi
 
mimi bado sijakutana na situation ya kunifanya niamini asilimia 100 kama uchawi upo, pia ukiangalia dalili nyingi za magonjwa ya akili na personality dissorder utagundua huenda mara nyingi ubongo unatengeneza matukio si tunaona kama ni uchawi
Situation ya ndugu yangu kushikwa na kichaa na kulekwa kwa mganga wa jadi ni dhahir tosha uchawi upo
 
Mdogo wangu aliugua ugonjwa ambao haukuwa na solution hospitalini na haukujulikana ni ugonjwa gani ila aliponywa na waganga. Alikuwa akiwa popote pale na anafanya lolote lile akikutwa na hyo hali anakuwa anasimama km unavyo pause video kwenye simu yako au tv yako. Anakuwa hana kitu chochote anafany zaidi yakupumua tu. Hasikii chochote na hata kama alikuwa anasikia hakuna respond yoyote ile. Anakuwa anaduwaa tu. Hali hyo ingemkuta katikati ya barabara gari lingempitia. Hakuwa na ugonjwa waakili naamini hospitali pia haukujulikana naamini
UCHAWI upo nakumbuka mpk leo mana nilikuwa mdogo na maza alihangaika sana kwa waganga na alipona.
Kwa sasa anamiaka karibia 30 na nikikumbuka utoto wake naumia sn nikija kumfahamu aliyemroga ntamalizana nae. Alimliza mama yangu sana. Alimtesa mama yangu sana.
 
Back
Top Bottom