Habari zenu wanasheria wote? Pia poleni kwa majukumu ya kila siku.
Naomba kujua kama ni kosa kisheria kwa mtu kutumia sehemu ya mlio wa wimbo wa Taifa la Tanzania kwenye simu ya mkononi.
Naomba kufahamishwa hilo kwa kuwa wimbo wa Taifa ni sehemu ya naraka za Serikali, ila nimekuta kwenye tovuti moja kuna alamu ya wimbo wa taifa la Tanzania yenye urefu wa dakika 1. 12, nimependa kuitumia kama mlio kwenye simu yangu, ila naogopa nisijekamatwa kwa kosa la kuvunja sheria.
Nasubiri kwa hamu michango yenu.
Naomba kujua kama ni kosa kisheria kwa mtu kutumia sehemu ya mlio wa wimbo wa Taifa la Tanzania kwenye simu ya mkononi.
Naomba kufahamishwa hilo kwa kuwa wimbo wa Taifa ni sehemu ya naraka za Serikali, ila nimekuta kwenye tovuti moja kuna alamu ya wimbo wa taifa la Tanzania yenye urefu wa dakika 1. 12, nimependa kuitumia kama mlio kwenye simu yangu, ila naogopa nisijekamatwa kwa kosa la kuvunja sheria.
Nasubiri kwa hamu michango yenu.