Je ni kosa kitaaluma kumwita mwanafunzi wa research hotelini?

Little John

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2010
Posts
215
Reaction score
66
Imetokea mwalimu anayekusimamia research yako yupo busy sana, na muda alioupata leo yupo kwenye kazi maalum hotel fulani kubwa mjini hivyo anakwambia umfuate hotel upeleke research yako. Mwanafunzi ni mwanadada na mwalimu ni mkaka. Je hapo kitaaluma imekaa sawa?
 
Sioni tatizo. isipokuwa hisia zako mbovu tu.
 
hakuna kosa.sehem nzur na tulivu.sema hao kina wadada ukshawaita hotelin.wanajua mkandamizo tyme.
 
Sioni kosa lolote katika kuitwa hotelini. kumbuka kuwa mwanachuo anayefanya research ni mtu mwenye akili timamu na mwenye uhuru wa kuamua kufanya au kutofanya chochote. isitoshe si kweli kwamba lecturer/ supervisor wako akisema jambo ni lazima ulitekeleze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…