Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi,wakati mwingine mtu unaweza kujikuta unatumia engine ya gari lililoibwa,kufuata taratibu rasmi inaepusha mengi ikiwemo usumbufu usio na tijaHakuna kosa kisheria unachopaswa na kuanzia kwa vehicle inspector atakupa fomu utaenda nayo TRA kubadili taarifa za gari kama jina la engine na serio namba za injini. But kuna gharama unalipia kadi inakuja na taatifa mpya usipofanya hivyo inakuwa kosa kisheria .. maana taarifa zinachengana