Je, ni kozi gani ambayo inaonekana itakuwa na uhutaji zaidi katika bandari miaka ijayo?

Je, ni kozi gani ambayo inaonekana itakuwa na uhutaji zaidi katika bandari miaka ijayo?

BB_DANGOTE

Senior Member
Joined
Sep 25, 2023
Posts
167
Reaction score
148
Wakuu leo katika utulivu wangu nimefikilia kwamba bandari ni ni moja ya sehemu ambayo kwa kijana wa sasa anaweza kunufaika na ajira ya mapema kama akisomea kwa wakati huu ambapo Nchi yetu inapambana na kukuza uchumi wa blue lakini swali lililopo kichwani kwangu.

Je, ni kozi gani ambayo inaonekana itakuwa na uhutaji zaidi katika bandari miaka ijayo?

Naomba kueleweshwa juu ya huu mtazamo wangu na ufafanuzi wa kozi nzuri katika siku za usoni...
 
Kila Rais anakuja na sera zake, usijetusumbua badae kama waliosoma Petroleum.
 
Back
Top Bottom