Nimewahi kupata habari mbaya. Makampuni mengi (kupitia Brokers) yamekuwa yakihadaa wawekezaji wa ndani, kwa kuwaambia wanunue hata kama ni over value, wao wataziuza kwa wawekezaji wa nje, kitu ambacho hakifanyiki, hivyo kuwakatisha tamaa wawekezaji wa ndani waliopewa 30% ya hisa.
Naomba wenye uelewa wasaidie kutoa elimu kwa njia ya makala, kwa kuwa kuna watu wanakuwa na hela lakini hawajui wawekeze wapi.