Je, ni kwanini Bagamoyo hakuna kiwanda cha kusindika madafu kama hiki?

Je, ni kwanini Bagamoyo hakuna kiwanda cha kusindika madafu kama hiki?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nimeshtuka sana kuona hii video, kumbe madafu ni bidhaa unayoweza kuisindika na kuiuza ndani na nje ya nchi ikiwa fresh kabisa.

Inauwezo wa kutoa hadi ajira 10,000 kwa kiwanda kimoja, kuanzia kwenye mashamba hadi uuzajI.

Madafu sio lazima kuuza kwenye baiskeli, hata supermarket inawezekana.


View: https://youtu.be/vN6_APes0Kk?si=ZB6zhVFEP27aHUgw
 
Mawaziri wa kilimo na utalii ni wakina aani?
 
Back
Top Bottom