Kiaina umefikia ile tafakuri anakuwaga nayo mtu fudenge wangu, acha nimuweke kapuni eehehehehe.
Nimewaza namna wazo lako limekujia....🤔🤔🤔 kama wavulana wanatolewa govi hospitalini kwanini utepe usitolewe kitabibu hospitalini??
Kindu thi kindu, kindu ni mshombe..!!🤪🤪🤪.
Shughuli hapo sio kuuondoa ule utepe, shughuli ni kuitanua njia iwe tayari kupitisha gunzi teketeke.
Ile hifadhi ya mwanamke ni kama ngoma kwa ndani, namna unaipiga ndo namna inaimarika kutoa midundo kedekede na viuno vitakunjika tuu kukatika kulika kushoto mbele nyuma juu chini mradi tuu tafrani 😁.
NB:Ukiona kero acha wenzio wakutolee halafu wewe uwapate wakiwa tayari shwaaa mpaka uani 🙄🚶♀️🚶♀️🚶♀️. Kuna wanaozitafuta hizo chance za kukata utepe kwa udi na uvumba.