mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 402
- 345
Ndo mumeona hili ndo tundu la kufugia hao ndege.Inauma na inaudhi, mtu ambaye hajajenga flyover, kununua ndege wala kujenga bwawa kukubalika hivyo. Tena hayo yanafanyika huku nchi ikiwa imeshurutishwa kuamini kuwa mtu huyo ni msaliti. Hali hiyo inaonyesha wananchi bado wanataka mabadiliko, na hawajayapata, bali miradi inayofanyika kwa kodi za wananchi ndio inatumika kulazimisha nchi irudi kuwa ya chama kimoja cha watoa rushwa. Mbinu pekee ni ushindi kama ule wa SM, maana wananchi hawaonekani kusujudia vitu.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa Kama MTU hana Uteuzi au madaraka yenye nafasi kubwa ya kula hizo kodi kwa mishahara minono ndani na nje ya CCM asimpigie kura ??Anajuwa uchafu wake na anajuwa hakubaliki katika makundi mtammbuka ya WaTanzania. Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chatto anaowapa uteuzi kila siku.
Wa Tanzania wote au wenyewe au ndugu zao amewaathiri kimaisha kwa maamuzi haya:-
-Kuwaondoa wanafunzi wa UDOM waliokuwa wanasoma ualimu wa sayansi
- Kufuta wafanyakazi wa vyeti feki
- Kuwatumbua wafanyakazi bila kufuata sheria
- Kutopandisha mshahara na madaraja
- Kutotoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
- Kuvunja nyumba za Kimara na kuachia za Mwanza
- Kubagua maendeleo majimbo ya wapinzani kama Kilwa
- Kuzuia wanafunzi wenye mimba wasiendelee na masomo
- Kumtimua CAG makini kwa vile kuulizia ufisadi wa Tsh 1.5 Trilion
-Kuua wakosoaji kama BenSaa Nane na Azory Gwanda
- Kutumia vibaya fedha za Serikali kama ujenzi wa kiwanja cha Ndege Chato na mbuga ya Burigi
- Kuwaweka rumande wafanyabiashara kwa makosa ya kubambikiza kama Rugemalira
-Kuwabambikiza makosa wakosoaji kama Kabendera
- Kutunga sheria kandamizi
-Kutawala kwa kidikteta
- Kuvuruga wafanyabiashara kama Yusuf Manji
Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Hizi bangi za kuvuta baada ya kula ukoko wa mama lishe ni tabu tupuAnaogopa aibu,Magu huyu wa 2020 ni tofauti kabisa na Magu wa 2015, Magu huyu wa 2020 bila police na vyombo vingine vya dola kumsaidia wadhamini 200 kila mkoa atawapata wapi? Hakuna wa kujitokeza kwa hiari yake
Hakuna cha Kuanza kampeni au nini!!
Magufuli baada ya kuchukua fomu ya NEC alikwenda White House Dodoma, akaongea sera zake na akasema Sera zake zijazo!! Uzuri ilirushwa Live na kila mtu aliona, Kwenye page ya Magufuli facebook anapost kila leo, Magufuli tano tena, anapost Picha za miradi zenye hashtag magufuli tano tena. Sasa kama ni kuanza kampeni wote Magufuli na Lissu watakuwa wameanza kampeni na kama kukatwa wanatakiwa wakatwe wote.
Watu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.
Wajaribu kumkata Magufuli. Kama wamechoka na amani ya Tanzania waseme tu maana sasa ni baaasi!! Tuko tayari watupige risasi wote waone kama watapona na Mahakama ya Kimataifa
Kapigwe risasi ufe mwenyewe,alafu tuone wakati hiyo mahakama ya kimataifa inafanya kazi, wewe utakuwa unafaidika na nini kaburini.Hakuna cha Kuanza kampeni au nini!!
Magufuli baada ya kuchukua fomu ya NEC alikwenda White House Dodoma, akaongea sera zake na akasema Sera zake zijazo!! Uzuri ilirushwa Live na kila mtu aliona, Kwenye page ya Magufuli facebook anapost kila leo, Magufuli tano tena, anapost Picha za miradi zenye hashtag magufuli tano tena. Sasa kama ni kuanza kampeni wote Magufuli na Lissu watakuwa wameanza kampeni na kama kukatwa wanatakiwa wakatwe wote.
Watu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.
Wajaribu kumkata Magufuli. Kama wamechoka na amani ya Tanzania waseme tu maana sasa ni baaasi!! Tuko tayari watupige risasi wote waone kama watapona na Mahakama ya Kimataifa
sema uko tayri usinichange mm na kibarskawenu. yaan mtu anatetea wazungu tuu kila hotuba unasemHakuna cha Kuanza kampeni au nini!!
Magufuli baada ya kuchukua fomu ya NEC alikwenda White House Dodoma, akaongea sera zake na akasema Sera zake zijazo!! Uzuri ilirushwa Live na kila mtu aliona, Kwenye page ya Magufuli facebook anapost kila leo, Magufuli tano tena, anapost Picha za miradi zenye hashtag magufuli tano tena. Sasa kama ni kuanza kampeni wote Magufuli na Lissu watakuwa wameanza kampeni na kama kukatwa wanatakiwa wakatwe wote.
Watu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.
Wajaribu kumkata Magufuli. Kama wamechoka na amani ya Tanzania waseme tu maana sasa ni baaasi!! Tuko tayari watupige risasi wote waone kama watapona na Mahakama ya Kimataifa
Hapana kila mgombea anatumia mbinu na mtandao wake kutafuata wadhamini. Anaye amua kuwafuata huko physically au anatumia mtandao wake mpana ni uamuzi wa kila mmoja na havina uhusiano na kampeni au kupigwa panga na NEC muda muafaka ukifika. Msiogope nyie songeni mbele tu hadi mtakapo kutana na Sheria ya Uchaguzi hapo 26/08/2020. Vinginevyo ALL THE BEST.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Kwa zile spana za Lisu lazima mzee nati zimemkaza ile mbaya anaona aibu hata kutokaMambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Magufuli hanaga kelele, hata 2015 alifanya mambo yake kimyakimya hivyo hivyo.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.Bwashee watu wengi wanaoenda kwa Lisu ni akina " Thomaso"......wanakwenda kujiridhisha kama " Ni Yeye " kweli?
Na nyie si ni vibaraka wa wachina shida iko wapi??sema uko tayri usinichange mm na kibarskawenu. yaan mtu anatetea wazungu tuu kila hotuba unasem
Wakifanya hivyo utakuwa ni uhuni ..... 2015 wote pamoja na yeye walizunguka kutafuta wadhamini kwa mtindo huo huo.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
SeasonKuna mtu ameniambia kuanza kampeni kabla ya muda haiko katika orodha ya mambo yanayoweza kuwekewa pingamizi kulingana na sheria za uchaguzi. Hata jiwe kuna mahali nimeona clip yake, naye kumbe alishaanza maana ameuambia umati wasimchague mtu atakaye uza nchi kwa mabeberu. Sisi tutafute tu [emoji897][emoji897][emoji897][emoji897] tufuatilie mtifuano huo.
Kila mtu ana staili yake ya kutafuta wadhamini, au siyo?Rais Magufuli ana majukumu mengi ya kitaifa wadhamini wanamfuata wenyewe kwa mamilioni pale Chamwino wakitokea mikoa tofauti tofauti.
Lisu anauza sura wengi walikuwa hawamjui!