mabala family
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 228
- 258
Tulikuwa tunaifananisha na jeans, itia rangi inakuwa mpya unarudi barabaran.Kuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404
Hii ni gari ya Mfaransa, mbona hata miaka ya 90 zilikuwepo.Kuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404
Mmh, labda Brevis bhana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata huku mtaani kwetu zinaitwa FOROFOO...Hii ni gari ya Mfaransa, mbona hata miaka ya 90 zilikuwepo.
Mzee wangu alikuwa anaita ''Forofoo'' yaani 404.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] I knew it!!!Mmh, labda Brevis bhana...
Altezza ni gari kali sana achavkuipuza sio kwa viwanja sio kwa kunyookaAisee..., wanyoa viduku wa Altezza na subaru wana mengi ya kujifunza kwa kweli...
Sio kweli! Sababu ni taa zake zilikua kama pua za Nguruwe!!Nguruwe ni 504 siyo 404. Sababu ni mbio na uimara kwa pamoja.
Kwa sababu zina roho ngumu na ni ngumu kuvumilia mkiki mkiki ma imara sana na likivyotengenezwa hata kuliangusha ni vigumu sanaKuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404